Wakati wa shambulio hilo ambapo alijeruhiwa vibaya sana baada ya kupigwa risasi ya kichwa , alikuwa na umri wa miaka 15 pekee .
Alilengwa
na wanamgambo wa Taliban wa huko Pakistani kwa kuonekana kuwa mstari wa
mbele kupigia kampeni ya kuendeleza elimu kwa wasichana.Mwaka jana msichana Malala Yousafzai alitunukiwa tuzo la kimataifa la Nobel akiwa mshindi mwenye umri mdogo zaidi kuwahi kushinda tuzo hilo la amani Nobel Peace Prize.
No comments:
Post a Comment