Chanzo kinafunguka kuwa Chris alikuwa akitimiza miaka 26 akiwa kama baba wa mtoto mmoja, Royalty ambapo walianza kwa kuongozana na mrembo huyo katika onesho la ngumi kati ya Mayweather na Pacquiao.
“Chris alimpigia Karrueche simu sambamba na kumtumia meseji. Alikuwa na kila sababu ya kukutana naye kwanza Vegas kwenye onesho la ngumi na kweli baadaye alifanikiwa kufanya sherehe yake ya kuzaliwa kwa kutimiza ndoto ya kurudiana na Karrueche,” kilisema chanzo.
Chris na Karrueche walitengana kwa kile kilichoelezwa ni wivu wa kimapenzi ambapo bidada huyo aliamua kujitoa baada ya kugundua kuwa Chris alikuwa na mwanamke mwingine aitwaye Nia Amey-Guzman aliyezaa naye.
No comments:
Post a Comment