Rais wa Shirikisho la soka duniani FIFA, Sepp
Blatter, ameongoza kikao cha dharura cha wanakamati wakuu wa shirikisho
hilo huko Zurich Uswisi.
Rais wa Shirikisho la soka duniani
FIFA, Sepp Blatter, ameongoza kikao cha dharura cha wanakamati wakuu wa
shirikisho hilo huko Zurich Uswisi. Kikao hicho kinafuatia hatua ya kukamatwa kwa maafisa 7 wakuu na polisi huko Zurich Uswisi kwa tuhuma za ufisadi. Blatter anakabiliwa na shinikizo la kujiuzulu uongozi wa FIFA. Hata hivyo FIFA inasema kuwa kura za kumchagua rais mpya zilizoratibiwa kufanyika kesho zitaendelea mbele.
No comments:
Post a Comment