| Goran Kopunovic |
Kopunovic, aliyerithi mikoba ya aliyekuwa kocha wa klabu hiyo kutoka Zambia, Patrick Phiri, ameiwezesha Simba kumaliza nafasi ya tatu,
baada ya kuinasua kutoka katika nafasi za chini. Kocha huyo ameondoka na kuacha ripoti ya ushiriki wa timu katika ligi
na mapendekezo kadhaa, lakini hatima yake haijajulikana kufuatia kuisha kwa mkataba wake.
Habari zisizo rasmi kutoka Simba zinasema kuwa endapo kocha huyo hatakuwa tayari kukubaliana na uongozi, basi watalazimika kutafuta
kocha mwingine.
No comments:
Post a Comment