Nahodha wa Liverpool Steve Gerrard
alifunga bao la ushindi katika dakika za mwisho kwa upande wa Liverpool
dhidi ya QPR ili kuweka matumaini ya Liverpool ya kufuzu kwa dimba la
kilabu bingwa Ulaya msimu ujao.
Phillipe Coutinho aliipatia Liverpool bao la kwanza kupitia mkwaju mzuri kabla ya Leroy Fer wa QPR kusawazisha.
Awali Gerrard alikosa mkwaju wa Penalti baada ya beki wa liverpool kuchezewa visivyo.
Matokeo mengine ni
Leicester 3 - 0 Newcastle
Sunderland 2 - 1 Southampton
Swansea 2 - 0 Stoke
West Ham 1 - 0 Burnley
No comments:
Post a Comment