Zilipendwa wa Mwanamitindo Amber Rose, Wiz Khalifa.
| Wiz Khalifa akiwa na mwanaye Sebastian. |
ZILIPENDWA wa Mwanamitindo Amber Rose, Wiz Khalifa ameeleza kuwa anampenda sana mwanaye Sebastian ila ataumia sana kama ataiga tabia zake ikiwemo ya kujichora tatoo.
“Nampenda sana Seba, ila kuna mambo akiniiga nitaumia sana. Moja ni hili la kujichora tatoo, akikua kisha akafanya hivyo, nitaumia sana kwani atakuwa ameiharibu ngozi yake nzuri,” alisema Wiz. Mwanamuziki huyo ana tatoo zipatazo 18 mwilini,zote zikiwa ni kwa ajili ya kuwapa heshima watu muhimu katika maisha yake.
No comments:
Post a Comment