Katika taarifa iliyotolewa leo makao makuu ya FIFA mjini Zurich, Uswisi, Blatter amesema anaondoka baada ya miaka 17 kama mtu mwenye nguvu katika soka.
| Rais wa FIFA, Sepp Blatter ametangaza kujiuzulu nafasi hiyo. |
| Sepp Blatter akiwapongeza wajumbe wa FIFA baada ya kushinda nafasi hiyo siku sita zilizopita. |
No comments:
Post a Comment