Timu ya taifa ya Ubelgiji ina wasiwasi wa kumkosa nyota wake Marouane Fellaini katika mchezo wa kuzufu kwa michuano ya ulaya.
| Marouane Fellaini |
kocha wa kikosi hicho Marc Wilmots ameeleza kuwa wanasubiri kauli ya daktari wa timu ili kujua ukubwa wa tatizo na kama wataweza mtumia mchezaji huyu katika mchezo huo.
Fellaini alifunga mabao mawili katika ushindi wa 4-3 dhidi ya Ubelgiji katika mchezo wa kimataifa wa kirafiki wa kalenda ya Fifa.
No comments:
Post a Comment