Mserbia Novak Djokovic ameshinda taji la Wimbledon baada ya kumfunga mpinzani wake wa mara zote Roger Federer.
Kama si kipigo hicho kwa Federer alikuwa na matumaini ya kuwa mwanaume wa kwanza kushinda Wimbledon mara nane.
Novak mwenye miaka 28, alishinda kwa 7-6 (7-1) 6-7 (10-12) 6-4 6-3
No comments:
Post a Comment