Saudi Arabia imekana ripoti kuwa
mkanyagano uliowaua zaidi ya watu 700 karibu na mji wa Mecca
ulisababishwa na kufungwa kwa barabara ili kuruhusu watu mashuhuri
kuingia eneo hilo.
Iran imeilaumu Saudi Arabia kwa mkasa na ikataka wahusika wote kuchukuliwa hatua za kisheria.
No comments:
Post a Comment