| yanga,simba Azam videdea |
Vigogo vya ligi kuu ya Tanzania bara Simba,Yanga na Azam vimeibuka na ushindi katika michezo yao ya mzunguko wa pili.
Azam Fc walipata ushindi wa mabao 2-0 dhidi ya Stand United mchezo uliochezwa kwenye dimba la Kambarage Shinyanga.
Matokeo Mengine ya ligi hiyo ni:
Ndanda FC 1-0 Coastal Union (Nangwanda Sijaona, Mtwara)
Mbeya City 3-0 JKT Ruvu (Sokoine, Mbeya)
Majimaji FC 1-0 Kagera Sugar (Majimaji, Songea)
Mwadui FC 2-0 African Sports (Mwadui Complex, Shinyanga)
Toto Africans 1-2 Mtibwa Sugar (CCM Kirumba, Mwanza)
No comments:
Post a Comment