| Celina Kombani |
Waziri wa nchi Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma nchini Tanzania Celina Kombani amefariki dunia.
Alizaliwa Juni 19, 1959, na alikuwa mbunge kupitia chama tawala CCM. Rais Jakaya Kikwete ni miongoni wa waliotuma risala za rambirambi kumuomboleza waziri huyo.
"Ndugu yetu na mtumishi wa wananchi, Bi Celina Kombani ametangulia mbele za haki. Moyo wangu uko pamoja na familia yake wakat i huu wa majonzi," amesema kupitia akaunti yake ya Twitter.
No comments:
Post a Comment