Pages

Wednesday, 14 October 2015

Marekani:Jeshi la Iraq lichukue Ramadi

Wanajeshi wa Iraq
Pentagon imesema kuwa, muda umewadia kwa kikosi cha wanajeshi wa Iraq waliofunzwa na Marekani kuchukua udhibiti wa mji wa Ramadi kutoka mikononi mwa kundi hatari la Islamic State.
Msemaji wa Pentagon kanali Steve Warren amesema kwamba, mashambulio 52 ya angani dhidi ya ngome ya IS katika siku kumi zilizopita yameandaa kikosi hicho kufikia hatua ya mwisho ya kuutwaa mji huo.

Kanali Warren anasema kuwa yatakuwa mapigano makali.

No comments:

Post a Comment