Alisema Urusi na mataifa ya magharibi yanapaswa kujiona kama washiriki dhidi ya adui wa pamoja - lakini wakati huohuo alilaumu Serikali za Mataifa ya Magharibi kwa kuwa manafiki katika wajibu wao nchini Syria. Alisema mataifa hayo yanawashambulia magaidi wengine lakini wakati huohuo kuwatumia magaidi wengine kwa manufaa yao.
Friday, 23 October 2015
Urusi yatetea msimamo wake
Alisema Urusi na mataifa ya magharibi yanapaswa kujiona kama washiriki dhidi ya adui wa pamoja - lakini wakati huohuo alilaumu Serikali za Mataifa ya Magharibi kwa kuwa manafiki katika wajibu wao nchini Syria. Alisema mataifa hayo yanawashambulia magaidi wengine lakini wakati huohuo kuwatumia magaidi wengine kwa manufaa yao.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment