Pages

Wednesday, 8 April 2015

CHOKI, NYAMWELA WATUA RASMI TWANGA PEPETA

Aliyekuwa Mkurugenzi wa Extra Bongo, Ali Choki na dansa wake Super Nyamwela wamejiunga rasmi na Bendi ya Twanga Pepeta leo na kutambulishwa kwa wanahabari katika mkutano uliofanyika Nemax Hotel, Kinondoni jijini Dar.

No comments:

Post a Comment