| Mkuu wa Kitengo cha Habari cha Simba, Haji Manara. |
Akizungumza na Championi Jumatano, Mkuu wa Kitengo cha Habari cha Simba, Haji Manara, alisema kutokana na kuwa na hasira za kupoteza mchezo wa kwanza dhidi ya Mgambo, wataingia kwa lengo moja la kuibuka na ushindi na hali hiyo ndiyo itakuwa hadi mwisho wa ligi.
“Tunawatangazia wapinzani kuwa tutashusha vipigo mpaka ligi inaisha na tutaanza kulipiza kisasi wikiendi hii dhidi ya Mgambo kwani tuna hasira nao kutokana na kutufunga mchezo wa kwanza,” alisema Manara ambaye alitua Simba kwa mbwembwe akatangaza kuwa hatakuwa akizungumzia masuala ya kiufundi.
No comments:
Post a Comment