Mahakama mjini Jerusalem imemhukumu waziri wa zamani wa Israeli Ehud Olmert miezi 8 jela kutokana na mashtaka ya ufisadi.
Anabaki kuwa huru ahadi pale atakapo kata rufaa kwa hukumu hizo zote.
Bwana Olmert alilazimishwa kujiuzulu miaka sita iliyopita na kutoa nafasi ya kuchaguliwa kwa waziri mkuu mweye msimao mkali Benjamin Netanyahu.
No comments:
Post a Comment