Rais wa Liberia Ellen Johnson Sirlieaf anasema kwa Liberia sasa itasherehekea jitihada zake za kupambana na ugonjwa huo.
Liberia iliripoti kisa chake cha kwanza zaidi ya mwaka mmoja uliopita wakati ugonjwa huo uliposambaa kutoka taifa jirani la Guinea.
Ugonjwa huo umewaua zaidi ya watu 11,000 katika eneo la Afrika magharibi.
No comments:
Post a Comment