Pages

Saturday, 23 May 2015

Maelfu ya Wakatoliki wanahudhuria sherehe mjini Nyeri, Kenya, ya kum'bariki mtawa wa kale kutoka Italia.

 
Mabaki
Irene Stefani aliwasaidia majeruhi wa Afrika Mashariki, wakati wa vita vya kwanza vya dunia, kabla ya kufariki kutokana na tauni mwaka 1930.

Mji wa Nyeri umejaa maelfu ya watu na wengi walikesha hapo jana.
Mabaki ya mtawa huyo yatasafirishwa hadi kanisa kuu la Nyeri siku ya jumapili. 

No comments:

Post a Comment