Boti zaidi yanayowabeba
wahamiaji walio na matatizo chungu nzima, yamekwama katika bahari huko
Andaman, kutokana na hatua ya serikali ya Thailand, Malaysia na
Indonesia kufunga mipaka ya nchi zao.
Wahamiaji
Wahamiaji hao wameachwa baada ya Thailand kuwatimua walanguzi wa watu kutoka katika bahari ya nchi hiyo. Maelfu ya wahamiaji hao ni kutoka katika kabila dogo la Rohingya - kabila linalodhulumiwa na utawala wa Myanmar.
Wahamiaji
Phil Robertson ni naibu mkurugenzi mkuu wa shirika la haki za
kibinadamu la Human Rights Watch anasema kuwa hata ingawa hali ya
kisheria kwao bado ina ati ati, wengi wa walioko kwenye maboti hayo
hawana maji wala chakula. Radio na Runinga ya taifa inanganganiwa kwa sasa huku wanajeshi waaminifu kwa rais Nkrunziza ndio wanaoidhibiti.
No comments:
Post a Comment