Mbowe: Lowassa ni Dhaifu, Na ni Bubu wa Kukemea Ufisadi
 |
| Mbowe |
Mh.Mbowe amenukuliwa na Tanzania Daima akimchana Mh.Lowasa kuwa ni mgombea dhaifu na bubu wa kukemea ufisadi.
Amesema UKAWA hawawezi kuwa nae,hivyo asiwatishe CCM kuwa ana nafasi UKAWA.
Source:Tanzania Daima
No comments:
Post a Comment