Pages

Thursday, 28 May 2015

Mbowe: Lowassa ni Dhaifu, Na ni Bubu wa Kukemea Ufisadi

Mbowe
Mh.Mbowe amenukuliwa na Tanzania Daima akimchana Mh.Lowasa kuwa ni mgombea dhaifu na bubu wa kukemea ufisadi.

 Amesema UKAWA hawawezi kuwa nae,hivyo asiwatishe CCM kuwa ana nafasi UKAWA.

Source:Tanzania Daima

No comments:

Post a Comment