Chama hicho cha Kiyahudi kinachotetea upanuzi wa makazi ya Wayahudi katika maeneo ya Wapalestina, kimepewa wizara muhimu ya Sheria. Muungano huo pia unakihusisha chama cha ultra Orthodox.
Katika mkutano wa waandishi wa habari, ukihudhuriwa na kiongozi wa chama cha Kiyahudi, Naftali Bennett, Bwana Netanyahu amesema kazi kubwa katika kuunda serikali ya pamoja.
Chama cha Bwana Netanyahu cha Likud kilishinda uchaguzi wa mwezi Marchi kwa kupata viti 30.
No comments:
Post a Comment