Walitumia mabomu ya kutoa machozi na risasi za mipira, ili kuwatawanya waandamanaji wenye asili ya Waisraeli- waitheopia, wanaopinga unyanyasaji wa polisi wanaowabagua.
Zaidi ya watu hamsini wamejeruhiwa na polisi.
Waziri mkuu, Benjamin Netanyahu, ameomba kuwepo kwa hali ya utulivu, huku akisema kuwa madai yote ya ubaguzi wa polisi yatachunguzwa.
No comments:
Post a Comment