Lakini kwa watu walio na 'tattoo' katika kifundo cha mkono ,wino unaotumika huzuia mwangaza huo wa kijani kibichi na hivyobasi kutoa matokeo mabaya.
Kampuni ya Apple hatahivyo haijatoa tamko lolote kuhusu habari hiyo lakini imearifu ukurasa wa usaidizi wa saa hiyo kubaini tatizo hilo.
Huku kampuni hiyo ikiwa imeliangazia swala la kiwango cha moyo wa binadaamu unavyopiga,na kusahau kwamba wateja wake wamekuwa wakilalamika kuhusu sensa ya ngozi katika saa hiyo,ambayo inachukua habari za iwapo saa hiyo imevuliwa na inawabidi watumiaji kuweka neno la siri.
No comments:
Post a Comment