Pages

Friday, 8 May 2015

Uingereza: Cameron na Conservatives waongoza

Waziri mkuu David Cameron anaelekea kupata ushindi mkubwa katika uchaguzi mkuu uliofanyika nchini Uingereza hiyo jana. Chama chake cha Conservative kimejiongezea hadi sasa jumla ya viti 20 na kusajili ushindi katika majimbo 279.
Uingereza: Cameron na Conservatives waongoza
Chama kikuu cha upinzani Chama cha Leba kimesajili jumla ya viti 217 hii ikiwa na viti 25 chini ya idadi iliyokuwa nayo katika bunge lililopita

Huku matokeo ya theluthi moja ya maaneo bunge yakiwa yametangazwa waziri mkuu David Cameron anaonekana kurejea afisini lakini bila idadi kubwa ya wabunge ikimaanisha kuwa Chama cha Conservative kitalazimika kuunda serikali ya muungano.

No comments:

Post a Comment