Kundi la wahamiaji mia tatu kutoka Mynmar, linasema kuwa limekwama baharini bila ya chakula wala maji kwa siku tatu.
Wahamiaji hao wanasema kuwa, wafanyikazi wa boti linalowabeba wanaaminika kuwa raia kutoka Thailand.
Waliliacha boti hilo siku ya jumapili na kutoweka.
Waliko kwa sasa haijulikani lakini inaaminika ndani ya bahari karibu na kisiwa kimoja cha Malaysia kiitwacho Langkawi.
No comments:
Post a Comment