 |
| Mwenyekiti
wa Chama cha wanafunzi wanaosoma Kitivo cha Masoko cha Chuo Kikuu UDSM (
DUMA ) Dkt. Uliwmengu akitoa historia fupi ya Tuzo za ACHIVERS AWARDS
katika kongamano la wanafunzi wanaaosoma Kitivo cha Masoko na Biashara
lilifofanyika Jumamosi iliyopita UDSM na kukutanisha wanataaluma wengi
pia wajasiriamali waliofanikiwa na kuweza kukutanisha vyuo mbalimbali
ikwemo UDSM , IFM, CBE, na TIA. |
 |
| Mkurunezi
wa IPP media Dr Regnald Mengi akitoa hamasa wanafunzi kwueza kutumia
fursa kuweza kutengeneza mawazo ya kibiashara katika kongamano la
wanafunzi wanaosoma masoko na biashara |
 |
| Wanafunzi wakifautilia kwa makini kongamano hilo la Marketing Forum. |
 |
| Washiriki
wa kongamano wakionekana kushangilia baada ya Dkt. Mengi kuwa
anatarajia kuzindua kitabu chake kipya mwishoni mwa mwaka huu. |
 |
| Dkt. Kitila Mkumbo akipokea tuzo ya mwanasiasa anayependwa sana na mwenye mvuto kwa jamii ambayo tuzo ilienda kwa Zitto Kabwe. |
 |
| Mlezi Dkt. David Rweikiza akitoa
tuzo kwa mwanamitindo anayependwa ambayo tuzo ilienda kwa Sheria Ngowi,
alipokea na mwakilishi wake. |
 |
| Mkurungezi wa masoko wa Vodacom
Kelvin Twisa akitoa tuzo kwa mtangazaji anayependwa amaba yo tuzo
ilienda kwa Millard, tuzo ilipokelewa na mwakilishi wake anayefahamika
kwa kama Askofu. |
 |
| Mkurungezi
wa AEG LTD, Iman Kajula akitoa tuzo kwa Diamond Platinumz kama msanii
anayependwa, tuzo tuzo ilipokelewa na mwakilishi wake Niki wa Pili. |
 |
| Mkurungezi wa IPP media Dkt. Reginald Mengi akitoa shukrani kwa waandaaji wa tuzo hizo. |
Washindi wa tuzo mbalimbali zilizotolewa kwenye kongamano hilo.
Mkurungezi
na mwanzilishi wa Mwanaharakati Mzalendo Media pia Mkurungezi mtendaji
wa kajo itech ambao walikuwa ni wadhamini rasmi wa kongamano hili,
Krantz Mwantepele akiongea na wanafunzi jinsi gani wanweza kufungua
fursa za baishara na kuweza kujiajili kutumia mitandao ya kijamiii pia
kuweza kutumia vizuri mitandao kupata kujuana na marafki wa zamani na
sasa.
Picha/habari: MWANAHARAKATI MZALENDO MEDIA
No comments:
Post a Comment