Pages

Monday, 15 June 2015

NHC YAKABIDHIWA CHETI CHA MWAJIRI BORA 2015




Mkurugenzi wa Rasilimali Watu wa Shirika la Nyumba la Taifa (NHC), James Rhombo (Kulia) Meneja wa Huduma kwa Jamii wa NHC, Muungano Saguya na Meneja wa Mawasiliano kwa Umma wa NHC, Yahya Charahani wakiimba wimbo wa solidarity forever wakati wa hafla hiyo.

Mwenyekiti wa TAMICO Taifa, Mbaraka Igangula akizungumza katika hafla hiyo wanaoshuhudia ni Naibu wa Kazi na Ajira, Makongoro Mahanga na Katibu Mkuu wa Tamico, Hassan Ameir.

Naibu Waziri wa Kazi na Ajira, Makongoro Mahanga (wa kwanza kulia) akimkabidhi Mkurugenzi wa Rasilimali Watu wa Shirika la Nyumba la Taifa (NHC), James Rhombo tuzo ya Mwajiri Bora wa Mwaka 2014 mara baada ya Shirika hilo na mengine mawili kutangazwa kuwa mwajiri bora wa mwaka 2015 iliyotolewa na Chama Cha Wafanyakazi wa Migodini, Ujenzi, Nishati na Kazi nyingine (TAMICO). Katikati ni Mwenyekiti wa TAMICO Taifa, Mbaraka Igangula akishihudia. Katika tuzo hizo jumla ya waajiri 160 walishindanishwa na kupatikana watatu bora ambao ni NHC, Kampuni ya kuchimba madini ya Geita Gold Mining (GGM) na Wakala wa Ujenzi wa Barabara Tanzania (Tanroad).

Meneja wa Huduma kwa Jamii wa NHC, Muungano Saguya akiwa ameshikilia tuzo ya mwajiri bora wa mwaka 2015 huku Mkurugenzi wa Rasilimali Watu wa Shirika la Nyumba la Taifa (NHC), James Rhombo na Katibu wa Tamico, NHC Iddi Kitete wakishuhudia.


Mkurugenzi wa Rasilimali Watu wa Shirika la Nyumba la Taifa (NHC), James Rhombo akizungumza kutoa shukurani wakati wa hafla hiyo

Picha ya pamoja

Mwenyekiti wa TAMICO Taifa, Mbaraka Igangula akizungumza katika hafla hiyo wanaoshuhudia ni Naibu wa Kazi na Ajira, Makongoro Mahanga na Katibu Mkuu wa Tamico, Hassan Ameir.

Naibu Waziri wa Kazi na Ajira, Makongoro Mahanga (wa kwanza kulia) akikabidhi kwa Mkurugenzi wa Rasilimali Watu wa Shirika la Nyumba la Taifa (NHC), James Rhombo tuzo ya Mwajiri Bora wa Mwaka 2014 mara baada ya Shirika hilo na mengine mawili kutangazwa kuwa mwajiri bora wa mwaka 2015 iliyotolewa na Chama Cha Wafanyakazi wa Migodini, Ujenzi, Nishati na Kazi nyingine (TAMICO).

Meneja wa Huduma kwa Jamii wa NHC, Muungano Saguya akiwa ameshikilia tuzo ya mwajiri bora wa mwaka 2015 huku Mkurugenzi wa Rasilimali Watu wa Shirika la Nyumba la Taifa (NHC), James Rhombo na Katibu wa Tamico, NHC Iddi Kitete wakishuhudia.

No comments:

Post a Comment