Hatua hiyo inajiri baada ya rais Mahmoud Abbas kuliambia kundi lake la Fatah kwamba serikali hiyo ya mwaka mmoja itavunjika kwa kuwa Hamas imekataa kuiruhusu kufanya oparesheni zake katika huko Gaza.
Hatahivyo Hamas limesema kuwa halikushauriwa na kwamba linapinga mpango wowote wa kuvunjwa kwa utawala huo.
No comments:
Post a Comment