Viongozi wawili wa juu katika ulinzi
wa Marekani wamesema, hakuna uwezekano kwa Marekani kusajili wanajeshi
wapatao 24,000 nchini Iraq mwaka huu.
Katibu mkuu wa ulinzi wa
Marekani Ash Carter, na Mwenyekiti wa umoja wa wafanyakazi, Jenerali
Martin Dempsey, wamesema programu za mafunzo zilizotolewa na Marekani
bado hazijaweza kuwavutia wengi kama ilivyotarajiwa.Hata hivyo wamesisitiza watu zaidi kujiunga kwaajili ya mafunzo ya kijeshi, ili hatimaye waweze kushinda vita dhidi ya Wanamgambo wa Islmamic State.
No comments:
Post a Comment