Wanamgambo wa Islamic State wamekiri kuhusika na milipuko hiyo na kudai kuwa ni hatua yao ya kulipa kisasi dhidi ya Houthi, walioteka jimbo la Yemen na milki zake.
Kwa sasa mazungumzo yanaendelea huko Geneva kati ya waasi na Serikali,huku maofisa wa umoja wa mataifa wakijaribu kusuluhisha pande hizo mbili ili kusitisha mapigano
No comments:
Post a Comment