| Jagmohan Dalmiya |
Rais wa bodi ya Kriket ya India
Jagmohan Dalmiya amefariki dunia. Dalmiya mwenye miaka 75 alifikishwa
hospitalini siku ya Alhamisi wiki iliyopita kutokana na maumivu ya kifua
huku akilazwa katika chumba cha wagonjwa mahututi.
Alikuwa pia kiongozi katika shirikisho la dunia la mchezo huotokea mwaka 1997 mpaka 2000.
No comments:
Post a Comment