Serbia na Umoja wa mataifa
wameilaumu Hungary kwa kitendo cha kupiga mabomu ya machozi ili kuwazuia
wakimbizi wanaotaka kuingia kaskazini mwa bara la ulaya.
| Wakimbizi wakishambuliwa kwa mabomu ya machozi |
Wakati katibu mkuu wa Umoja wa mataifa ameshangazwa na jinsi ambavyo wakimbizi hao wamekuwa wakifanyiwa.
Ingawa Hungary ilijitetea kwa kudai kuwa baadhi ya askari wao walijeruhiwa wakati wakiwazuia wakimbizi hao kufanya ghasia huku wakijaribu kupita kwenye uzio wa seng'enge iliyokuwa imewekwa kuwazuia kupita.
No comments:
Post a Comment