Pages

Saturday, 6 June 2015

MWIGULU ACHUKUA FOMU YA KUWANIA URAIS

Mh.Mwigulu akiwasili makao makuu ya Chama Cha Mapinduzi mjini Dodoma kwa ajili ya Kuchukua fomu ya kuwania urais wa Tanzania mwaka 2015.

Mwigulu akisaini kitabu cha wagombea urais kupitia chama cha CCM.
Mwigulu Nchemba na mke wake Bi.Neema Mwigulu wakifurahia kukabidhiwa kwa  fomu za kugombea urais  ambazo ndani yake atatakiwa kutafuta wadhamini katika mikoa 15 nchini.
Mwigulu akiwa anateta jambo na mtu mwenye ulemavu mara baada ya kuchukua fomu za urais.
Mwigulu Nchemba akimtambulisha mke wake Neema Ngure.

Nje ya Ukumbi wa CCM Makao Makuu Mwigulu Nchemba akiwa na mkewe Bi.Neema Mwigulu wakilakiwa na mamia ya Wananchi waliojitokeza kuwasapoti hii leo wakati wa uchukuaji wa fomu ya kuwania urais kwa tiketi ya CCM


Wananchi waliojitokeza kumsindikiza Mwigulu wakati wa uchukuaji wa fomu.

Mwigulu akiagana na wananchi waliofika kumsapoti wakati anachukua wa fomu ya kuwania urais wa Tanzania mwaka 2015.

No comments:

Post a Comment